SHILINGI BILIONI 23 ZATENGWA KWA WATOTO NJITI
Na. Mwandishi Wetu Bungeni Dodoma Serikali imetenga kiasi cha Bilioni 23 kwa ajili ya ujenzi wa wodi ya watoto njiti ili kupunguza vifo kwa watoto hao. Hayo ameyasema Naibu Waziri wa Afya Mhe. Dkt. Godwin Mollel leo Bungeni kwenye mkutano wa Nane Kikao cha Sita Jijini Dodoma akiwa anajibu maswali ya nyongeza. Swali lililoulizwa na Mheshimiwa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed