SHILINGI BILIONI 23 ZATENGWA KWA WATOTO NJITI

Na. Mwandishi Wetu Bungeni Dodoma  Serikali imetenga kiasi cha Bilioni 23 kwa ajili ya ujenzi wa wodi ya watoto njiti ili kupunguza vifo kwa watoto hao. Hayo ameyasema Naibu Waziri wa Afya Mhe. Dkt. Godwin Mollel leo Bungeni  kwenye mkutano wa Nane Kikao cha Sita Jijini Dodoma akiwa anajibu maswali ya nyongeza. Swali lililoulizwa na Mheshimiwa